Eleza maana ya misemo ifuatwayo a)giza la ukata..... b)meza mate machungu

  1. 👍
  2. 👎
  3. 👁
  4. ℹ️
  5. 🚩
  1. meza mate machungu ni kupata tabu. giza la ukata ni kuwa maskini bila matumaini.

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  2. Kupata tabu

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  3. Meza mate Machungu ni kupata taabu Giza la ukata ni hali ya umaskini mkubwa

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  4. Naomi jemutai

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  5. Kumeza mate Machungu ni kuvumilia shida

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  6. Doreen

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  7. Meza mate machungu ni kuvumilia jambo lisilokuridhisha

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  8. Meza mate machungu ni kupata matatizo au dhiki.

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  9. Meza mate machungu ni kupata matatizo au dhiki.
    Giza la ukata ni kutokuwa na mbele wala nyuma.

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  10. Giza la ukuta kuwa maskini na meza mate machungu kupata tabu au shida

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  11. Meza mate machungu ni kupata shida katika jambo Fulani bila kufikiria

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  12. Meza mate

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  13. Mtoto aliaye huchapwa

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  14. Meza mate machungu , kuwa na subira
    Giza la ukata , kuwa maskini

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  15. Kupata shida

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  16. Mezea mate

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  17. Kutamani kitu

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩
  18. Giza la ukuta ..... Kuwa maskini

    1. 👍
    2. 👎
    3. ℹ️
    4. 🚩

Jina

Jibu